Fuatilia semina za Neno la Mungu nchini Tanzania. Ratiba inayofuata inaonyeshwa hapa chini; tarehe na mahali yanaweza kusasishwa mara kwa mara.
Tangazo la ratiba ya huduma
Semina ya Wanawake – Neno la Mungu
Semina Ijayo
Muda na tarehe
Tarehe
Kuanzia
12-May-2026
Hadi
14-May-2026
Muda
Kutoka
Saa 3 (9:00 AM)
Hadi
Saa 11 (5:00 PM)
Mahali na ukumbi
Chimala – Kanisa la Lutherani
Ukumbi
Hema / Nje
Wahusika
Wahudumu
Bibi Beth Mwakatwila na wahudumu
Waandaaji
Huduma ya Soma Neno la Mungu
Waimbaji
Waimbaji wa kike wa Husonemu